1 Corinthians 16:3-4
3 aKwa hiyo nitakapowasili, nitawapa wale mtakaowachagua barua za kuwatambulisha, ili kuwatuma wapeleke zawadi zenu huko Yerusalemu. 4 bKama ikionekana ni vyema na mimi niende, basi hao watu watafuatana nami. Mahitaji Binafsi
Copyright information for
SwhKC